Ijumaa, 12 Juni 2015

LAPTOP ZILIZOTENGENEZWA KENYA

Chuo Kikuu cha Kilimo na technologia cha Jomo Kenyatta Nchini Kenya, JKUAT, leo kimezindua kumputa mpakato iliyotengezwa nchini humo.

JKUAT kwa kushirikaina na wizara ya Viwanda Na Ujasiriamali imezindua laptop hiyo yenye ukubwa wa Corei3, 4GB na 500GB kwa habari zaidi tembelea tuko.co.ke

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni