Jumatano, 17 Juni 2015

LIGI KUU UINGEREZA KUTIMUA VUMBI AGOSTI 8

Mabingwa watetezi Chelsea the Blues wataanza kutetea taji lao la ligi kuu katika uwanja wao wa nyumbani wa Stamford Bridge watakapo pambana na Sweswea  katika mechi za ufunguzi zitakazopigwa kati ya Agosti 8-9.

Washindi wa pili Man city wao watasafiri kwenda kuwakabili west bromwich albion, huku majirani zao Machester United wakiwakaribisha Tottenham Old Trafford.

Mabingwa wa kombe la FA Arsenal wao watakuwa nyumbani kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la London, huku majogoo wa anfield timu ya liverpool watasafiri kwenda kuwakabili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni