Tano bora iliyopitishwa na kamati kuu ya CCM ni Bernard Membe, Dr. John Magufuli, Asha Rose Migiro, January Makamba na Amina Salum Alli.
Baada ya vikao vya kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi (CC) kukaa kwa muda mrefu bila ufumbuzi wa tano bora, huku nchi nzima ikielekeza macho yao mjini Dodoma ambapo vikao hivyo ndo vinafanyika.
katibu uenezi wa chama hicho Nape Nauye amesema majina hayo yatapelekwa halimashauri kuu taifa ambayo ndio itatoa tatu bora kabla ya mkutano mkuu hapo baadae leo hii.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni