Jumatano, 1 Julai 2015

RATIBA YA CECAFA KAGAME CUP

Michuano ya kombe la kagame Cecafa kuanza kutimua vumbi Julai 18 hadi Agosti 2 jijini Dar es Salaam, huku wawakilishi wa Tanzania, Timu ya Yanga ilimepangwa kundi A  na Azam ikiwa imepangwa kwenye kundi C.

Mechi ya ufunguzi tarehe 18 Julai, 2015 Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam itashuhudia wenyeji Yanga SC wakicheza na Gor Mahia ya Kenya, huku APR ya Rwanda ikicheza na Al Shandy ya Sudan na KMKM ya Zanzibar wakifungua dimba na Telecom ya Somalia.

Timu tatu zitakazoshika nafasi ya juu kutoka kundi A, timu mbili za juu kutoka kundi B & C, na mshindi mwenye wastani mzuri kutoka kundi B & C zitaingia katika hatua ya robo fainali.

KUNDI A
YANGA (Tanzania)
GOR MAHIA (Kenya)
KHARTOUM (Sudan)
TELECOM (Djibout)
KMKM (Zanzibar)


KUNDI B
APR (Rwanda)
AL SHANDY (Sudan)
LLB (Burundi)
ELMAN (Somalia)

KUNDI C
AZAM(Tanzania)
MALAKIA(South Sudan)
KCC(Uganda)
ADAMA City (Ethiopia)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni